PICHA: UZINDUZI WA KANISA LA W.C.C LA MCH. PETER MITIMINGI


Jumapili ya tarehe 28/01/2018 ilikuwa ni jumapili ya tofauti sana na ya kukumbukwa kwa mchungaji Peter Mitimingi pamoja na waumini/wafuasi wake baada ya kufanya uzinduzi wa kanisa lao la WAREHOUSE CHRISTIAN CENTER (WHC) mitaa ya mwenge karibu na kituo cha mabasi cha "ITV".

Katika siku hiyo, matukio mengi yalifanyika na tunakuletea PICHA za matukio hayo kama ifuatavyo:

Timu ya kusifu na kuabudu ikihudumu

Idara ya mapokezi walifanya kazi nzuri pia

Wabeba maono wa kanisa la WCC katika picha ya pamoja

Mch Mitimingi akizungumza na watoto waliohudhuria ibada
hiyo

Mch Mitimingi katika picha ya pamoja na vijana wa kanisa
hilo hapo jana.

Mch Mitimingi pamoja na mkewe Patience Mitimingi
wakiwasalimia baadhi ya watu waliohudhuria ibada hiyo

Jeshi la Polisi pia lilikuwepo kuhakikisha usalama unakuwepo
hasa kutokana na wingi wa watu waliojitokeza

Mch mitimingi akihubiri katika ibada hiyo

Baba na mama mchungaji. walipendeza sana

Muda wa kuabudu katika roho na kweli

Kulikuwa na mabasi maalum ya kuwaleta watu na hapa
yalikuwa yakiwashusha

Wachungaji wakuu wakiingia ibadani

Ni muda wa chakula cha Bwana. NENO LA MUNGU

Mama mchungaji Patience Mitimingi akihudumu

Mchungaji Mitimingi madhabahuni

Media team 

Selfie zilipigika pia

waliojitokeza walikuwa ni wengi mno

Waumini waliohudhuria ibada hiyo wakifuatilia kwa ukaribu
kinachoendelea ibadani

Mchungaji Mitimingi akiingia eneo la tukio huku akisalimiana
na vijana wahudumu wa siku hiyo maalumu

0 comments:

Copyright © 2018 iCHURCH Magazine