PICHA: HAFLA YA UZINDUZI WA HOTELI KUBWA YA NABII SHEPHERD BUSHIRI

Nabii Shepherd Bushiri akifurahia jambo wakati akitoa hotuba yake katika hafla hiyo


Muonekano wa ndani: sehemu ya ukumbi kwa ajili ya shughuli mbalimbali


wageni waalikwa wakifuatilia kwa makini kinachoendelea




Muonekano wa nje.



Mwakilishi wa kutoka ikulu akiwasilisha ujumbe kutoka ikulu


Meneja mkuu wa hoteli hiyo akikaribisha wageni waalikwa


What a Logo!!!!



MAJOR 1 akitoa hotuba


Muonekano wa nje wa hoteli hiyo


Nabii Bushiri akifurahia jambo


muonekano: sehemu ya nje kibarazani


Hakika inapendeza


Mkurugenzi wa Hoteli hiyo Bwana David Dix akitoa neno la ufunguzi wa tafrija hiyo


Mafikizolo jukwaani wakiburudisha 


Mfalme wa RnB nchini Afrika ya Kusini, Bwana Donald, naye alioata wasaa wa kuimba


Kundi la muziki la Mafikizolo wakitumbuiza katika tafrija hiyo


Ni muda wa kuserebuka na kufurahia mafanikio


Mwimbaji wa nyimbo za injili, Brenden Praise alipata nafasi ya kumwimbia Mungu katika tafrija hiyo


Nabii Bushiri akiwa na Baba yake wa kiroho, Nabii Uebert Angel




Muonekano wa ndani: sehemu ya ukumbi kwa ajili ya chakula na shughuli mbalimbali


Muonekano wa ndani: sehemu ya kupumzikia


wageni waalikwa katika hafla hiyo


Muonekano wa ndani ya hoteli hiyo


0 comments:

Copyright © 2018 iCHURCH Magazine