PICHA: HAFLA YA UZINDUZI WA HOTELI KUBWA YA NABII SHEPHERD BUSHIRI
![]() |
Nabii Shepherd Bushiri akifurahia jambo wakati akitoa hotuba yake katika hafla hiyo |
![]() |
Muonekano wa ndani: sehemu ya ukumbi kwa ajili ya shughuli mbalimbali |
![]() |
wageni waalikwa wakifuatilia kwa makini kinachoendelea |
![]() |
Muonekano wa nje. |
![]() |
Mwakilishi wa kutoka ikulu akiwasilisha ujumbe kutoka ikulu |
![]() |
Meneja mkuu wa hoteli hiyo akikaribisha wageni waalikwa |
![]() |
What a Logo!!!! |
![]() |
MAJOR 1 akitoa hotuba |
![]() |
Muonekano wa nje wa hoteli hiyo |
![]() |
Nabii Bushiri akifurahia jambo |
![]() |
muonekano: sehemu ya nje kibarazani |
![]() |
Hakika inapendeza |
![]() |
Mkurugenzi wa Hoteli hiyo Bwana David Dix akitoa neno la ufunguzi wa tafrija hiyo |
![]() |
Mafikizolo jukwaani wakiburudisha |
![]() |
Mfalme wa RnB nchini Afrika ya Kusini, Bwana Donald, naye alioata wasaa wa kuimba |
![]() |
Kundi la muziki la Mafikizolo wakitumbuiza katika tafrija hiyo |
![]() |
Ni muda wa kuserebuka na kufurahia mafanikio |
![]() |
Mwimbaji wa nyimbo za injili, Brenden Praise alipata nafasi ya kumwimbia Mungu katika tafrija hiyo |
![]() |
Nabii Bushiri akiwa na Baba yake wa kiroho, Nabii Uebert Angel |
![]() | |
|
![]() | |
|
![]() |
wageni waalikwa katika hafla hiyo |
![]() |
Muonekano wa ndani ya hoteli hiyo |
0 comments: