PICHA: HAFLA YA UZINDUZI WA HOTELI KUBWA YA NABII SHEPHERD BUSHIRI
![]() |
| Nabii Shepherd Bushiri akifurahia jambo wakati akitoa hotuba yake katika hafla hiyo |
![]() |
| Muonekano wa ndani: sehemu ya ukumbi kwa ajili ya shughuli mbalimbali |
![]() |
| wageni waalikwa wakifuatilia kwa makini kinachoendelea |
![]() |
| Muonekano wa nje. |
![]() |
| Mwakilishi wa kutoka ikulu akiwasilisha ujumbe kutoka ikulu |
![]() |
| Meneja mkuu wa hoteli hiyo akikaribisha wageni waalikwa |
![]() |
| What a Logo!!!! |
![]() |
| MAJOR 1 akitoa hotuba |
![]() |
| Muonekano wa nje wa hoteli hiyo |
![]() |
| Nabii Bushiri akifurahia jambo |
![]() |
| muonekano: sehemu ya nje kibarazani |
![]() |
| Hakika inapendeza |
![]() |
| Mkurugenzi wa Hoteli hiyo Bwana David Dix akitoa neno la ufunguzi wa tafrija hiyo |
![]() |
| Mafikizolo jukwaani wakiburudisha |
![]() |
| Mfalme wa RnB nchini Afrika ya Kusini, Bwana Donald, naye alioata wasaa wa kuimba |
![]() |
| Kundi la muziki la Mafikizolo wakitumbuiza katika tafrija hiyo |
![]() |
| Ni muda wa kuserebuka na kufurahia mafanikio |
![]() |
| Mwimbaji wa nyimbo za injili, Brenden Praise alipata nafasi ya kumwimbia Mungu katika tafrija hiyo |
![]() |
| Nabii Bushiri akiwa na Baba yake wa kiroho, Nabii Uebert Angel |
![]() | |
|
![]() | |
|
![]() |
| wageni waalikwa katika hafla hiyo |
![]() |
| Muonekano wa ndani ya hoteli hiyo |
























0 comments: